KUHUSU SISI

 KUHUSU SISI

Anniy Nndumi Nursery and Primary School ni Shule ya Awali na Msingi, Kutwa na Bweni inayotumia lugha ya kingereza katika kufundishia Inatumia mitaala ya Wizara ya Elimu.

Shule ipo katika Kata ya Saranga, Wilaya ya Ubungo, Mkoa wa Dar es Salaam. Shule ipo umbali wa kilometa tatu kutoka barabara kuu iendayo Morogoro mtaa wa Matangini mkabala na Shule ya Msingi Mavurunza


Comments

Popular posts from this blog

ADA

USAJILI